Mchango kwa kituo cha kulea watoto yatima WATOTO WETU TANZANIA
Share via
Karibu tuwachangie kituo cha kulea watoto yatima cha WATOTO WETU TANZANIA. Michango hii itatumika kuwanunualia mahitaji muhimu kama vile, chakula, mavazi, ada za shule, na vifaa vya shule.
Michango hii inaratibiwa na Dina Marios, kupitia mradi wa Dada Dina Cares. Kwa utaratibu huu Dada Dina Cares kupitia ukusanyaji wa michango kwa miaka iliyopita tumeweza kuchangisha michango kwaajili ya vituo mbalimbali vya malezi ya watoto kama vile Sifa Centre ya Bunju, Vetenari Centre - Temeke, na Zaidia Centre - Sinza, House of Hope - Mabibo, Mayunga Orpanage - Kinondoni. Huko tulipeleka chakula, nguo, vifaa vya usafi, sare za shule, ada na vingine vingi.
Kwa wenye michango ya aina nyingine mbali na pesa tafadhali wasialiana nasi kupitia
Dada Dina Cares Org. - 0787 583 132
Watoto Wetu Tanzania Orphanage Centre -
Venue location in map
Organizer information
TiME Tickets
TiME Tickets is a multi-platform software which redefines ticketing experience by making the process easy convenient and safe. Its available via web, and android apps and even on feature phone.